Monday 29 August 2016

PICHA: Lema Alazwa Baada Ya Kutokula Kwa Saa 48

Tarehe August 29,2016
Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema akiwa hospitali alikolazwa baada ya mwili kudhoofu kutokana na kutokula kwa saa 48.V 1
 Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema akiwa hospitali alikolazwa baada ya mwili kudhoofu kutokana na kutokula kwa saa 48.

Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema amelazwa katika hospitali mojawapo Jijini humo kufuatia mwili wake kudhoofu baada ya kugoma kula kwa saa 48 tangu alipokamatwa juzi na Jeshi la Polisi.

Mbunge huyo anatarajiwa kupandishwa mahakamani leo kujibu tuhuma za kufanya uchochezi kwa njia ya mtandao.

clouds stream