Saturday 6 August 2016

Taarifa : Manara Atoa Bei Mpya Ya Jezi Simba Fc

Tarehe August 6, 2016
Mkuu wa kitengo cha mawasiliano Simba Fc,Haji ManaraV 1
Mkuu wa kitengo cha mawasiliano Simba Fc,Haji Manara Mkuu wa kitengo cha mawasiliano klabu ya Simba Haji Manara amewasisitiza mashabiki wa Simba kuiunga mkono timu hiyo kwa kununua jezi ya timu hiyo ambayo itauzwa kwa shilingi 20,000 za kitanzania.
Manara amesema kuwa jezi hizo zipo katika ubora wa hali ya juu na zitapatikana uwanjani siku ya Simba Day.

clouds stream