Monday 8 August 2016

Supu Ya Pweza Yathibitika Kusaidia Nguvu Za Kiume.

Tarehe August 9, 2016
12472499_1138768596202399_1414658179980401994_nV 1

Wataalam na wanasayanzi wa ndani kutoka Hospitali ya Taifa Muhimbili na wa Kimataifa wamethibitisha kuwa supu ya pweza ina uwezo wa kuongeza nguvu za kiume.

Wataalam hao wanadai kuwa supu hiyo inafanya kazi hiyo kwa asilimia kubwa tofauti na madawa mengine ya kemikali.

Taarifa hii ya wataalm hawa inakuja wakati kukiwa na majadiliano ya mara kwa mara juu ya uwezo wa supu hiyo ambayo ni maarufu sana katika viunga tofautitofauti katika Jiji la Dar es Salaam hasa nyakati za jioni.

Je ndugu msomaji nini maoni yako kuhusiana na taarifa hii ya wataalam wetu kuhusu pweza na supu yake?

clouds stream