Sunday 1 March 2015

Liverpool yailaza Mancity

Liverpool yailaza Mancity

Phillipe Coutinho alifunga bao la ushindi na kuiwezesha Liverpool kuharibu matumaini ya Mancity kulitetea taji lake katika uwanja wa Anfield..
Bao la Jordan Henderson liliiweka mbele Liverpool kabla ya Edwin Dzeko kusawazisha.
Lakini Mchezaji wa Brazil Coutinho alipachika bao la kuvutia alipofunga kutoka nje ya eneo la hatari.

clouds stream