Tuesday 23 February 2016

Barcelona Yaigaragaza Arsenal 2-0, Messi Atupia Zote

Barcelona Yaigaragaza Arsenal 2-0, Messi Atupia Zote

Tarehe February 24, 2016
dee511dd-b890-4a33-b8f2-b4d7914dd56b
Hata pale walipocheza kwa ukamilifu, ilikuwa ngumu sana kuendana na Barcelona. Japokuwa Arsenal ilicheza kwa utulivu na nidhamu ya hali ya juu ni kama vile Barcelona walikuwa wanacheza peke yao.
1456259021282_lc_galleryImage_Arsenal_v_Barcelona_Champ
Muda si mrefu upepo usiozuilika ulitokea pale ambapo Neymar, Suarez na Messi waliungana na kuichanachana vipande Arsenal mpaka kuipatia timu yao bao la kwanza dakika ya 26 kipindi cha pili.
Punde si punde Messi akatupia bao la pili baada ya kupiga penati kwa staili yake ya mar azote ambapo kipa wa Arsenal, Peter Cech hakuwa na la kufanya zaidi ya kurudi kwenye nyavu na kuokota mpira.
1456263034581_lc_galleryImage_SPT_GCK_230216_Football_U
1456258724949_lc_galleryImage_Arsenal_v_Barcelona_Champ
1456263061565_lc_galleryImage_Arsenal_v_Barcelona_Champ
1456262621786_lc_galleryImage_LONDON_ENGLAND_FEBRUARY_2
c82a10a5-1b80-4b13-8983-7813ad7e14aa
fc9c14bc-a975-4fa6-830a-bd61660f76cd

clouds stream