Saturday 20 February 2016

Ridhiwani Kikwete Atoa Vitabu 3438 Kwa Shule Chalinze

Ridhiwani Kikwete Atoa Vitabu 3438 Kwa Shule Chalinze

Tarehe February 19, 2016
riziwani1
Mbunge wa Chalinze, Ridhiwani Kikwete akikabidhi vitabu kwa afisa elimu wa wilaya ya Chalinze
Mbunge wa Jimbo la Chalinze, Ridhiwani Kikwete leo amekabidhi vitabu 3438 vya shule za Msingi 105 na sekondari 17 vyenye thamani ya shilingi milioni 68,760,000.
riziwani2
Mbunge Ridhiwani Kikwete akitoa neno baada ya kukabidhi vitabu hivyo leo katika shule ya msingi Mdaula.
riziwani3
Mratibu wa Taasisi ya kulea Village, Bwana Kombo akizungumza wakati wa hafla ya makabidhiano ya vitabu hivyo.
riziwani4

clouds stream