Tuesday 2 February 2016

Guardiola Amtaka Pogba

Guardiola Amtaka Pogba

Tarehe February 2, 2016
Guardiola
Guardiola
Pep Guardiola hana hata siku moja katika kibarua chake kipya huko jijini Manchester akikinoa kikosi cha Man City kwa mda wa miaka minne lakini ameanza kwa kasi ya ajabu baada ya kumtaka kiungo wa Juventus Paul Pogba.
Guardiola anatarajia kaunza kazi katika kipindi cha majira ya joto lakini anataka kumsajili kiungo huyo kwa pauni milioni 80 n.
Guardiola ameutaka uongozi wa Man City kufanya kila wawezalo kuhakikisha kiungo huyo anatua uingereza.
Paul Pogba
Paul Pogba

clouds stream