Monday 14 March 2016

Basi La Leina Tours Likitokea Kahama Lapata Ajali Dar

Basi La Leina Tours Likitokea Kahama Lapata Ajali Dar

Tarehe March 14, 2016
Basi la Leina Tours mara baada ya kupata ajali.
Basi la Leina Tours mara baada ya kupata ajali.
Watu zaidi ya 30 wamejeruhiwa kufuatia basi la Leina Tours kuacha njia na kutumbukia mtaroni katika eneo la Kimara Bucha usiku wa kuamkia  leo jijini Dar es salaam.
Chanzo cha ajali hiyo bado  hakijafahamika hadi sasa  ambapo  Basi hilo lilikuwa likitokea Kahama kwenda Dar es Salaam.
Majeruhi katika ajali hiyo wamelazwa katika Hospitali ya Mwananyamala pamoja na wengine kupelekwa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili.
Jitihada za uokoaji zikiendelea baada ya basi hilo kupata ajali.
Jitihada za uokoaji zikiendelea baada ya basi hilo kupata ajali.

clouds stream