Monday 14 March 2016

Picha: Ronaldo Ajiunga Na Mwanae Kumpa Sapoti Dogo Ayman Wa Syria

Picha: Ronaldo Ajiunga Na Mwanae Kumpa Sapoti Dogo Ayman Wa Syria

Tarehe March 14, 2016
Ronaldo akiwa na mtoto wake Christiano jr wakiwa wameshika picha ya mtoto Raia wa Syria anayejulikana kwa jina la Ayman mwenye umri wa miaka mitano
Ronaldo akiwa na mtoto wake Christiano jr wakiwa wameshika picha ya mtoto Raia wa Syria anayejulikana kwa jina la Ayman mwenye umri wa miaka mitano
Kuonyesha ushirikiano katika suala la kupinga vita vnavyoendelea nchini Syria,Winga matata wa klabu ya Real Madrid na Ureno Christiano Ronaldo amepost picha katika matandao wake wa kijamii akiwa na mwanae huku wakiwa wameshika picha ya mtoto mwenye umri wa miaka mitano  aliyejulikana kwa jina la Ayman ambaye anapenda kucheza soka.

clouds stream