Monday 14 March 2016

Yaliyojiri Wakati Katibu Mkuu Mpya Chadema Akitambulishwa Mwanza

Yaliyojiri Wakati Katibu Mkuu Mpya Chadema Akitambulishwa Mwanza

Tarehe March 14, 2016
Mafuriko ya wananchi katika mkutano wa Chadema.
Mafuriko ya wananchi katika mkutano wa Chadema.
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) jana kimemtambulisha  Katibu mkuu CHADEMA Dr Vicent Mashinji  kwenye viwanja  vya   Furahisha jijini  Mwanza.
Kwa matukio zaidi katika picha tazama hapa..
Aliyekuwa mgombea urais wa Ukawa Edward Lowassa (kulia) akiwa na Katibu mpya Dr.Vicent Mashinji.
Aliyekuwa mgombea urais wa Ukawa Edward Lowassa (kulia) akiwa na Katibu mpya Dr.Vicent Mashinji.
Baadhi ya wananchi waliohudhuria mkutano huo.
Baadhi ya wananchi waliohudhuria mkutano huo.
Baadhi ya wanachama wa Chadema katika mkutano huo.
Baadhi ya wanachama wa Chadema katika mkutano huo.
4
Dr.Mashinji akiwasalimia wananchi katika viwanja vya Furahisha jijini Mwanza jana.
Dr.Mashinji akiwasalimia wananchi katika viwanja vya Furahisha jijini Mwanza jana.

clouds stream