Wednesday 2 March 2016

Sudani Kusini Yakubaliwa Uanachama Afrika Mashariki

Sudani Kusini Yakubaliwa Uanachama Afrika Mashariki

Tarehe March 2, 2016
Rais wa Sudan Kusini Salva Kiir.
Rais wa Sudan Kusini Salva Kiir.
Nchi ya Sudani leo imekubaliwa kujiunga na  Jumuiya ya Afrika Mashariki EAC katika kikao kilicho ongozwa na Mwenyekiti wa sasa wa jumuia hiyo  Rais Dkt. John Magufuli wa Tanzania.
Sudan Kusini ilijitenga na Sudan tarehe 9 Julai mwaka uliopita ambapo ilituma maombi ya kujiunga na Jumuiya ya Afrika Mashariki lakini jumuiya hiyo ilisema kwamba bado inakabiliwa na matatizo ya kisiasa na wala uchumi wake ambao asilimia 98 yake inategemea mauzo ya mafuta si wa kuridhisha.
Nchi  wanachama wa jumuiya hiyo  ni  Nairobi Kenya, Burundi, Rwanda, Uganda, Tanzania na Kenya.

clouds stream