Monday 14 March 2016

Picha: Ona Watanashati Azam Walivyotua Bongo

Picha: Ona Watanashati Azam Walivyotua Bongo

Tarehe March 14, 2016
Kikosi cha Azam kikiwa tayari kuondoka nchini Afrika ya Kusini
Kikosi cha Azam kikiwa tayari kuondoka nchini Afrika ya Kusini
Timu ya Azam FC ilipoondoka jijini Johannesburg na kuwasili Dar es Salaam leo saa 12.15 jioni ikitoka kufanya makubwa nchini Afrika Kusini kwa kuichapa Bidvest Wits mabao 3-0 kwenye mchezo wa raundi ya kwanza ya Kombe la Shirikisho Afrika.
wachezaji wa Azam wakiwa Airpot
wachezaji wa Azam wakiwa Airpot
wakiwa wamewasili Dar es Salaam
wakiwa wamewasili Dar es Salaam

clouds stream