Thursday 17 March 2016

Hii Ndio Barcelona Bwana,Watinga Robo Fainali Waipiga Arsenal 3-1

Hii Ndio Barcelona Bwana,Watinga Robo Fainali Waipiga Arsenal 3-1

Tarehe March 17, 2016
Neymar na Messi wakimpongeza Luis Suarez mara baada ya kuifungia Barcelona goli
Neymar na Messi wakimpongeza Luis Suarez mara baada ya kuifungia Barcelona goli
Barcelona wamefanikiwa kutinga hatua ya robo fainali katika michuano ya klabu bingwa ya dunia kwa kuitandika Arsenal magoli matatu kwa moja.
Katika mchezo wa awali Barcelona walishinda magoli mawili kwa bila huko uingereza na kwa ushindi wa leo Barcelona wanafuzu kwa jumla ya magoli matano kwa moja.
Magoli ya leo yalifungwa na Neymar dakika ya 8,Luis Suarez akapiga Tik-Tak dakika ya  65 na Messi dakika ya 88 huku goli la kufutia machozi la Arsenal likifungwa na  Mohamed Elnen dakika ya 51

clouds stream