Tuesday 26 July 2016

Basi La UDA Lagonga Treni Na Kuua Dar Es Salaam


Tarehe July 27, 2016 Basi la Uda liligonga Treni katika eneo la Gerezani.
Basi la Uda liligonga Treni katika eneo la Gerezani.

Basi la UDA linadaiwa kugonga Treni katika eneo la Gerezani Kariakoo jijini Dar es salaam na kusababisha kifo cha mtu mmoja huku wengine 40 wakijeruhiwa.

Kwa mujibu wa taarifa za awali zimebainisha kuwa ajali hiyo imetokea usiku wa kuamkia leo.



Basi la Uda linalodaiwa kugonga Treni jijini Dar es salaam.
Basi la Uda linalodaiwa kugonga Treni jijini Dar es salaam.

clouds stream