Sunday 31 July 2016

PICHA: Pale Usemi ‘Siasa Sio Uadui’ Unapodhihirika

Tarehe Aug 01, 2016
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo ambaye pia ni Katibu Mwenezi wa CCM Taifa Mh. Nape Nnauye na Mh. Freeman Mbowe ambaye ni Mwenyekiti wa Chama cha CHADEMA wakijadiliana jambo wakati alipokutana katika shughuli ya kuaga mwanahabari Mpiga Picha Marehemu Joseph Senga aliyefaiki mwishoni mwa wiki hii Nchini India alikokuwa akitibiwa maradhi ya moyo  shughuli hizo za kuaga mwili wa Marehemu Joseph Senga zimefanyika Sinza na mwili wa marehemu umesafirishwa kwenda wilayani Kwimba mkoani Mwanza kwa mazishi.
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo ambaye pia ni Katibu Mwenezi wa CCM Taifa Mhe. Nape Nnauye (kushoto) na Mhe. Freeman Mbowe ambaye ni Mwenyekiti wa Chama cha CHADEMA (kulia) wakijadiliana jambo wakati alipokutana katika shughuli ya kuaga mwanahabari Mpiga Picha Marehemu Joseph Senga aliyefaiki mwishoni mwa wiki hii nchini India alipokuwa akitibiwa maradhi ya moyo. Shughuli hizo za kuaga mwili wa Marehemu Joseph Senga zimefanyika Sinza na mwili wa marehemu umesafirishwa kwenda wilayani Kwimba mkoani Mwanza kwa mazishi.Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo ambaye pia ni Katibu Mwenezi wa CCM Taifa Mh. Nape Nnauye akizungumza na Mh. Edward Lowasa Waziri Mkuu wa Zamani na kada wa CHADEMA katikati kushoto ni Kada mwingine wa CHADEMA Ndugu Khamis Mngeja.Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo ambaye pia ni Katibu Mwenezi wa CCM Taifa Mhe. Nape Nnauye (kulia) akizungumza na Waziri Mkuu wa zamani na Mjumbe wa Kamati Kuu CHADEMA, Edward Lowassa (katikati). Kushoto ni Kada mwingine wa CHADEMA Ndugu Khamis Mngej

clouds stream