Tuesday 19 July 2016

Moyes Alamba Dili Lingine


Tarehe July 19, 2016Aliyekuwa Kocha wa Manchester United David Moyes.
Aliyekuwa Kocha wa Manchester United David Moyes.
Aliyekuwa Kocha wa Manchester United David Moyes.
Kocha wa zamani wa Everton na Manchester United, David Moyes amepata dili la kuwafundisha makocha nchini Jordan,Moyes ambaye aliwahi kuinoa Real Sociedad ya Hispania amekuwa akiwanoa makocha hao wa nchini Jordan ili kuwaongezea ujuzi.
Pamoja na makocha wengine lakini zaidi Moyes amekuwa akiwanoa makocha wa timu za taifa za Jordan.

clouds stream