Sunday 4 January 2015

MSICHANA WA MIAKA 7 ANUSURIKA KIFO KATIKA AJALI YA NDEGE



MSICHANA WA MIAKA 7 ANUSURIKA KIFO KATIKA AJALI YA NDEGE



Ndege iliyopata ajali.
Ndege iliyopata ajali.
Mtoto mmoja wa miaka saba ametembea hadi katika nyumba moja katika jimbo la Kentucky nchini Marekani ili kuripoti kuanguka kwa ndege aliyopanda.
Kwa mujibu wa jeshi la  polisi ndege hiyo baadaye ilionekana  imeanguka huku watu wanne wakiwa wamefariki katika kaunti ya Lyon yapata kilomita 50 mashariki mwa mji wa Paducah
Kituo cha runinga cha NBC nchini Marekani kimesema kuwa msichana huyo alimwarifu mtu aliyemfungulia mlango kwamba wazazi wake wote  walifariki katika ajali hiyo ya ndege.

clouds stream