Tuesday 17 February 2015

Chelsea, Bayern Munich zaambulia sare Ugenini

Chelsea, Bayern Munich zaambulia sare Ugenini


Magoli ya vipindi tofauti ya Branislav Ivanovic (36′) kwa upande wa Chelsea na Edinson Cavani (54′) yanazifanya timu hizo kugawana pointi huku Chelsea wakiwa na faida ya pointi ya ugenini na hivyo kusubiri mechi ya marudiano itakayofanyika darajani Stanford Bridge.
Kadi nyekundu ikitolewa kwa Xabi Alonso
Mechi nyngine ya hatua ya mtoano imefanyika huko Ukraine kwenye uwanja wa Shakhtar Donetsk kwa Bayern Munich kutoka sare 0-0 na wenyeji Shakhtar Donetsk huku tukio kubwa likiwa kwa kiungo mkabaji Xabi Alonso kupewa kadi nyekundu ikiwa ni mechi yake ya 100 ya ligi ya mabingwa barani Ulaya.

clouds stream