Sunday 22 February 2015

Sherehe ya kuzaliwa Mugabe kuzizima Zimbabwe

Sherehe ya kuzaliwa Mugabe kuzizima Zimbabwe


Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe anatarajia kuadhimisha sherehe ya kuzaliwa kwa aina ya kipekee. Mugabe anatimiza umri wa miaka 91 akiwa ni kiongozi mzee kabisa dunia ambapo amekuwa madarakani kwa miaka 36.
Anatarajiwa kufanya sherehe kubwa katika uwanja wa golf huko Victoria Falls, inakisiwa sherehe yenyewe itagharimu dola milioni moja. Sherehe hiyo itafanyika wiki ijayo.
Maelfu ya watu watahudhuria karamu hiyo, ambapo kutachinjwa ndovu, nyati, paa na simba mmoja. Shirika la habari la taifa linasema wananchi watalipia dhifa hiyo.

clouds stream